![]() |
Jimbo
Katoliki la Morogoro |
Uongozi wa Jimbo
Askofu
wa Jimbo
![]() |
-
Jimbo la Morogoro lipo chini ya uangalizi wa
Mhasham Telesphor Mkude.
-
Askofu Telesphor Mkude amezaliwa Novemba 30, 1945
katika kijiji cha Pinde, Parokia ya Mgeta, Jimbo la Morogoro.
Alipewa daraja la Upadri tarehe 16 Julai 1972. Aliteuliwa kuwa
Askofu wa Jimbo la Tanga tarehe 28 Januari 1988, na tarehe
akawekwa wakfu kuwa Askofu wa tanga tarehe 26 Aprili 1988.
Aliteuliwa kuwa Askofu wa Jimbo la Morogoro tarehe 19 Aprili 1993,
an akasimikwa tarehe 13
Juni 1993.
Makazi:
Uaskofuni,
Kilakala
S.L.P.
640 Morogoro, Tanzania
Simu: +255 (0) 23 260 3340
+255 (0) 23 4828
Fax
+255 (0) 23 3341
E-mail: mkude@africaonline.co.tz